Baada ya video ya wimbo Inde alioshirikishwa na Dully Sykes kutoka, 
mashabiki ndio wamezidi kuendelea kusisitiza kuwa msanii huyo anamuiga 
kwa kiasi kikubwa Diamond.
Harmonize ambaye mara nyingi amekuwa akisisitiza kuwa ndivyo yeye 
alivyo na yeye sasa ameonekana kuchoshwa na malalamiko ya mashabiki hao 
ambapo amejikuta akiandika ujumbe wenye utata kwenye Instagram: